Micah 4:1

Mlima Wa Bwana

(Isaya 2:2-4)

1 aKatika siku za mwisho

mlima wa Hekalu la Bwana utaimarishwa
kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote;
utainuliwa juu ya vilima,
na watu wa mataifa watamiminika humo.
Copyright information for SwhNEN